American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 699
- 1,041
Naombeni msaada kama kuna yeyote anaejua tiba mbadala ya mawe kwenye nyongo, hospital wanataka kunifanyia operation ya kunitoa nyongo, so alie na utaalam wa wapi naweza pata tiba naomba anisaidie.