vedastus christopher
New Member
- Jan 29, 2022
- 1
- 6
gh
Mungu akusimamieHabari za saizi watanzania wenzangu.
mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nilisoma shahada ya sheria (Bachelor of Laws) leo nimekuja mbele zenu kwa lengo la kutafuta kazi, ajira, kibarua n.k kazi yoyote ile nipo tayari kuifanya kwa ajili ya kuniingizia kipato cha kila siku na mkono uende kinywani maana kwa sasa naanza kua na majukumu. sasa nipo dar es salaam, Ubungo
natanguliza shukran za dhati kwenu
kwa mawasiliano
0748310139
0786660931
christophervedastus@gmail.com
Siwez pata kazi ata ya kufanya usafi apo ofisinimambo vp ndungu yangu, unaikumbuka hii reply kwenye ile post yangu ya kuomba kazi?, namshukuru Mungu kwa neema zake juu yangu maana nina miezi miwili kazini, namshukuru Mungu kuniwezesha kiziishi sehemu ya ndoto zangu maana kazi niliyoipata inahusiana na sheria katika kampuni fulani kubwa nchini ya mawakili, usikate tamaa kwenye kitu unachokipenda
Habari ndugu? Hongera kwa kupata kazi nina mdogo wangu pia ana stashahada ya sheria lakini hajapata bahati ya kuajiriwa.pole sana mtanzania mwenzangu kwa hapa ofisini kuna kampuni ya usafi ina mkataba na kampuni ninayofanyia kazi.
mimi nina degree ya sheria lakini pia nina mafunzo ya Law school na kwa sasa nasubilia matokeo ya law school,
Ukipata nafasi utukumbuke na sisi maana bado bils bila kwenye kada hio hio mkuumambo vp ndungu yangu, unaikumbuka hii reply kwenye ile post yangu ya kuomba kazi?, namshukuru Mungu kwa neema zake juu yangu maana nina miezi miwili kazini, namshukuru Mungu kuniwezesha kiziishi sehemu ya ndoto zangu maana kazi niliyoipata inahusiana na sheria katika kampuni fulani kubwa nchini ya mawakili, usikate tamaa kwenye kitu unachokipenda
Nilimaanisha kwenye pepa la Law School ulipita straight au ulikumbana na kashkash kama wale wa juzi kati(mwaka jana)?hapa nilikuja kuomba kama ninaweza kupata shughuli yoyote tu ya kufanya, ila kutoboa ilinibidi nitoge nyumbani niende kutafuta, nilipita maofisi mengi sna
Kila la kheri mkuukashkash haziishi mkuu, namshukuru Mungu, nakwenda napunguza mzigo kidogo kdogo