Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,719
Usimaind bruv. Pole na stress mkuu, mimi yalinikuta hayo hayo 2009 hadi 2010. Mtu anaamua kununa kwenye gari toka Mbeya hadi Arusha! Sababu hasemi. Mtoto baba mbulu mama kachanganya mwarabu na mnyaturu. Ilitoka kitu hio kila mkipita sehemu lazima vijana wagune. Ukitoa hela anafurahi, zikiisha kanuna! Eh. Kidogo niokote makopo aisee! Nilijikamua nikamnunlia gx110 nikaambiwa ni taxi. Anataka prado short chasis!shule imekusaidia sana aise.
Hehehe aisee yule binti! Dah! Halafu akaja nisaliti. Hakuna mtu, kuanzia yeye, ndugu na marafiki walioamini kuwa naweza mpiga chini moja kwa moja. Ila ni mwaka wa 3 sasa, na mpaka wiki 4 zilizopita nafikiri, binti anaomba msamaha eti tuwe marafiki tu, sijawahi kujibu msg zake!
Such is life!