Great thinker hahaha
Asante mkuu,nimekuelewa.SITOTUKANA TENA.
Mmh pole najua how much hyo hali inakera alafu mkeo hajui kwamba ukiwa unamuhisi sana mwenzio vitu ambavyo hafanyi inakuwa kama ndo unamtuma akafanye
Kwa hiyo hapo umetoa ushauri?Kuna haja ya watu kupimwa uwezo kiakili kabla ya kuruhusiwa kujiunga JF,the place of great thinkers.
Stahmili hupati yote mazuri.
asante great thinker..mwambie ani pm na.shida yako itakuondokea
Umri wako mkuu?
Asante kwa ushaur mkuuWivu ni mzuri but sometimes unakera japo si vzr kumwambia hana akili.Jitahidi kumuelewesha,punguza urafiki naaan wanawake pia muonyeshe kwamba asipende kusikiliza maneno ya watu mana wengine wanasubiri atoke wamcheke vizuri mana atakuwa kafulia.
div 5...nyingi sana za kunifanya nisiweze kuandika upuuzi kama huu uliondika ww.
Wewe una ndoa?Unajua madhara ya kutokumuanin mtu anaejitunza?Wewe ndo unahitaji kupimwa akili, umetueleza matatizo ya mkeo halafu mwisho ukauliza swali, hujaomba ushauri halafu unataka upewe ushauri juu ya nini hayo ni maamuzi yako kumpa talaka ama la? Kwani kabla hujamuoa ulikuwa hujagundua hana akili???? Halafu siyo ustaarabu kumwambia mkeo hana akili
Asante kwa ushaur mkuu
Unamtangaza mkeo kuwa hana akili kabisa!!
Wewe utakuwa hamnazo zaidi ndio maana ukamuoa.
Ndege wanaofanana!!!!!!
hautakua sahihi.ww ulidhani ulipoambiwa kwa shida na raha maana yake nn