Wakuu heshima mbele,naombeni msaada wa mawazo jamani,nina sh.million 5 nataka nizizungushe kny biashara ambayo haitanisumbua hasa kwenye uendeshaji kwani mimi ni mwajiriwa hivyo muda wangu utakuwa siyo full time kny hiyo biashara,naombeni mchango wenu wa mawazo tafadhali.Mbarikiwe saaaana