Nina million 5, nishaurini nifanye biashara gani

kibali

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
504
421
Wakuu heshima mbele,naombeni msaada wa mawazo jamani,nina sh.million 5 nataka nizizungushe kny biashara ambayo haitanisumbua hasa kwenye uendeshaji kwani mimi ni mwajiriwa hivyo muda wangu utakuwa siyo full time kny hiyo biashara,naombeni mchango wenu wa mawazo tafadhali.Mbarikiwe saaaana
 
Dah yani hamna mtu alikusaidia mpaka sasa...nway mi nadhani ungenunua bajaji tu zinalipa pia
 
Wakuu heshima mbele,naombeni msaada wa mawazo jamani,nina sh.million 5 nataka nizizungushe kny biashara ambayo haitanisumbua hasa kwenye uendeshaji kwani mimi ni mwajiriwa hivyo muda wangu utakuwa siyo full time kny hiyo biashara,naombeni mchango wenu wa mawazo tafadhali.Mbarikiwe saaaana

Hiyo 5m. ni pesa halali au umemwibia mwajiri wako?
 
huna haja ya kuanzisha threat mpya ya kutaka mawazo.. hebu peruzi thread nyingine kuna mawazo mengi utapata huo. usiwe mvivu wa kusoma thread nyingine!!.
moderators heb unganisha threads zote zinazotafuta mawazo ya biashara ya kufanya!!
 
Mwana Hongera
Kabla yakufanya jambo lolote omba nakumshukuru Mungu wako kukuwezesha kiasi hicho cha Pesa, pia muombe Mungu akulinde
na uepukane vishawishi vibaya. then make a good plan on what to be doe on that amount of Cash.
 
2 m fanya M-pesa na 2m nyingine fanya Tigo pesa 1 m iwe kwa ajili ya pango baada miezi minne utakuwa umerudisha pesa yako mkuu changamkia dili tafuta sehemu zenye msongamano wa watu wengi kama tegeta au mwenge na meneo mengine yaliyokaa kihivyo mkuu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom