Hiyo inatosha kabisa, Kuanza
-Tafuta chumba au frem
-nenda kwenye ofisi ya manispaa uliyopo tafuta leseni ya biashara,
- nenda ofisi za selcom au Max malipo zilizo karibu naweukanunue kifaa kinachotumika kuuzia kuku na malipo mengine! NA KUKISAJIRI na kuweka salio utakalokuwa unaanzia kuuza. lluku na
Kwa kifaa cha selcom kinaanzia laki 7 au 8 hivi!