Nina miaka 45 nahitaji kazi yeyote

Nina miaka 45 nahitaji kazi yeyote

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
868
Reaction score
1,385
Sio za ndani kwa MTU anayehitaji
MTU muaminifu nas msiri Ktk kazi zake
 
Ungesema uzoefu wako angalau watu wafikirie kukusaidia
 
Sidhani kama una umri huo, anyway,husitahili kuajiliwa kwa sasa,jiajili kwa kulima mbogamboga
 
45 unatafuta kazi yeyote? 45 ni umri wa kuendeleza vitega uchumi ulivyovianzisha on your 30's.
 
Kazi za ndani hizo
Maana umesisitiza " siyo za ndani ya mtu"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom