Hongera sana ndg kwa maamuzi mazuri unayotaka kufnya kila kitu kufanikiwa kwanz nia au utayari,pili ni bidii. Kurisiti ni jambo zuri sana especially kwa Maisha tunavyoendelea mbele na ongezeko kubwa la wasomi na hii sera ya Elimu Bure.. Elimu ya chini itakuwa ni kidato cha nne nasi la saba..!! Nakushauri tafuta kituo kizuri lipa ada, Nunua vitabu, jenga urafiki na walimu, penda kuwa muwazi kama mahali hujaelewa, kila siku tenga muda wa kupitia uliyofundshwa siku hiyo Darasani.. na mda wa kupitia mambo mageni, Penda kufnya maswali au majaribio ili kujipima uwezo wako na uelewa wako unapokosea ndp unapoongeza Bidii zaidi... Yaani na uhakika ukikosa Div I, au II labda wakuroge..!!