Nahitaji kupewa thamani kama mume kutoka wake!
Nikimpigia simu asiongee na mm huku akiendelea kuongea na waliokaribu nae kwakuwa Mimi huwa sifanyi hivo!
Tukimaliza kuongea tuagane vzr na siyo kunikatia simu eti kisa alikuwa amemaliza mazungumzo! Kwakuwa huwa sifanyi hivo!
Jukumu la kulinda mustakabali wa mapenzi yetu upo mikononi mwetu sote so ni jukumu la kila mmoja wetu kuzungumza na mwenzie kunapotokea mmoja anakuwa hayupo normal.
Lkn mwenzangu huyu hata kama yeye ndo kanikwaza hashughuliki kutatua tatizo badala yake ananiangalia tu na hata akimbiwa kwamba amenikwaza anakuwa mgumu kuelewa na kutoelewa kwamba hali hiyo inaniathiri na inanifanya nisimuone rafiki Yangu tena!
Hivi mlooa muda mrefu hivi ndivyo muishivyo?
Au hilo siyo tatizo? Mi linaniathiri lkn!
Nikimpigia simu asiongee na mm huku akiendelea kuongea na waliokaribu nae kwakuwa Mimi huwa sifanyi hivo!
Tukimaliza kuongea tuagane vzr na siyo kunikatia simu eti kisa alikuwa amemaliza mazungumzo! Kwakuwa huwa sifanyi hivo!
Jukumu la kulinda mustakabali wa mapenzi yetu upo mikononi mwetu sote so ni jukumu la kila mmoja wetu kuzungumza na mwenzie kunapotokea mmoja anakuwa hayupo normal.
Lkn mwenzangu huyu hata kama yeye ndo kanikwaza hashughuliki kutatua tatizo badala yake ananiangalia tu na hata akimbiwa kwamba amenikwaza anakuwa mgumu kuelewa na kutoelewa kwamba hali hiyo inaniathiri na inanifanya nisimuone rafiki Yangu tena!
Hivi mlooa muda mrefu hivi ndivyo muishivyo?
Au hilo siyo tatizo? Mi linaniathiri lkn!