Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Mimi nina bajeti ya laki 8 shida yangu ni kununua laptop. Ila mimi sio mjuzi sana wa laptop inshort ni mgeni maana nipo chuo mwaka wa kwanza sasa katika pita pita zangu nimekutana na laptop hizi hapa. Ipi nzuri kwa matumizi maana mimi napenda pia na game na kuangalia movie. Au kwa hii bajeti ya hela yangu unanishauri nitafute laptop gani maana kama nilivyosema siyo mjuzi na haya mambo asante sana.
Kwa sasa nipo Tanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa nipo Tanga.
Sent using Jamii Forums mobile app