iwe core i7,good condition,great battery life nicheki 0688206680
Mkuu mrangi naomba anuani ya huo mtaa ni somali na mtaa upi maana huo mtaa ni mrefu maana hata mi nahitaji hiyo mashine asanteKuna jamaa yako mmja Yuko so mali street kko, ana laptops 100 kidogo ukienda hapo utapata machine nzuri tu
51 somali street chief! Huyo jamaa analeta laptops nyingi sana ntaku pm # zake piaMkuu mrangi naomba anuani ya huo mtaa ni somali na mtaa upi maana huo mtaa ni mrefu maana hata mi nahitaji hiyo mashine asante
51 somali street chief! Huyo jamaa analeta laptops nyingi sana ntaku pm # zake pia
Ushauri wangu kwako ni kwamba, kabla hujanunua pc fanya research nzuri ujue proccesor, RAM, harddisc na battery!!! ukipata ya dukani itakua nzuri zaidi!!Iwe core i7, good condition, great battery life nicheki 0688206680
51 somali street chief! Huyo jamaa analeta laptops nyingi sana ntaku pm # zake pia