Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Wakuu Kuna kasumba 1 tunayo vijana ama wanaume, kwa wale waliosoma hawataki kuoa waliosoma wenzao Maana mtiti wake kwenye ndoa sio wa nchi hii.
Nami bora nijitenge mapema kabla sijaingia mkenge naoa zangu certificate na simuendelezi hapo panatosha.. Asije nifanya kama Mugabe mwaka juzi November wanawake hawa sio watu wazuri ukiwainua.
Baki ndani wewe mke ni wa kunilelea watoto na si kuchelewa kurudi nyumbani eti nimetoka kazini..
Majukumu yote ya kumhudumia Familia ni yangu..
Karibuni kwa wale wanaounga hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami bora nijitenge mapema kabla sijaingia mkenge naoa zangu certificate na simuendelezi hapo panatosha.. Asije nifanya kama Mugabe mwaka juzi November wanawake hawa sio watu wazuri ukiwainua.
Baki ndani wewe mke ni wa kunilelea watoto na si kuchelewa kurudi nyumbani eti nimetoka kazini..
Majukumu yote ya kumhudumia Familia ni yangu..
Karibuni kwa wale wanaounga hoja
Sent using Jamii Forums mobile app