Nina digrii moja ila sitaki kuoa mwenye digrii atanisumbua sana

Unayatazama maisha kwa ufinyu sana,ndo yatizo la kuishi sana shuleni,huku duniani mwenye digrii ni mata.kwo tu,wanauza mahindi ya kuchoma ,ila elimu huwa inamtoa mtu ule ujinga wa kuzaliwa tu,ila maishani ni kujichangaanya kazi kwa bidii na akili ndo utaheshimika
 
l
🏃🏃🏃🏃..
Kabisa hili nimewahi kumshuhudia dingi kamfanyia fitna maza mpaka akaachishwa kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wengi tu
Nadhani ni tatizo la saikolojia
Hivyo hivyo yupo radhi akamlie ndimu kwenye mboga ili zichache mke akae tena jikoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume kama mke wake anamzidi elimu basi yeye anatakiwa amzidi kipato...Ni bahati kuwa na mwanamke anayekuzid kipato na elimu alaf akatulia..unless amekupenda mwenyewe na hali yako anaitambua kabla ya ndoa....hata level ikiwa sawa kipato & elimu, bado kumuongoza ni taabu tuu,labda kama amekupenda kwa kweli hapo atakuheshimu...Takwimu zinasema idadi ya wanawake wasomi wanaoachika ni kubwa sana ukilinganisha na ambao sio wasomi.....wasio soma wana taabu yao but sio kama wasomi...hata hivyo inashauriwa Mke asikuzidi Elimu wala Kipato, kama mke wako ana diploma bas mwanaume uwe ba degree, kama ana degree bas uww na masters, hata kwenye kipato ni hivyo hivyo akipanda na ww jitahd upande pia...Zaid ya hapo hiyo ni ngekewa...tofaut kubwa sana ya kielimu na yenyewe sio nzur mana kuna kupishana sana kwenye maamuz.wasio soma sana kama la saba alaf ww una masters au degree na wao wana taabu yao, wengi wao huwaroga waume zao wakihofia mme anaweza kumwacha japo ndoa zao huwa zinadumu kwa sababu ya kuwa watiifu kwa waume zao ....Na sku zote mwanamke anategemea uimara wa mwanaume na kama mwanaume upo chini yake hasa suala la kipato na elimu tena kwa pamoja ni ngumu sana kumuongoza unless amefall sana kwako ni heri ukamzid kipato elimu hata akikuzid angalau......zaid ya yote MKE BORA HUTOKA KWA BWANA (NI MAJAALIWA)...unaweza pata msomi kimeo na unaweza pata la saba kimeo pia....
 
Mwanaume kaumbwa kuwa mtawala na ndio mana ni vigumu kukuta mwanamke mtawala hata katika siasa ni wachache...Akikosa utawala kwenye familia wengi wao huwa wanasepa...mwanaume huwa ana was was sana anapomuona mke wake anapaa kuliko yeye weng huingiwa na mawazo ya kutokujiamin....hapo kazi ya mwanamke ni kumtoa hofu tu mme wake...yaan hata akichelewa kidog tu mme anaanza kupata wenge
 
l




Mwanaume kama mke wake anamzidi elimu basi yeye anatakiwa amzidi kipato...Ni bahati kuwa na mwanamke anayekuzid kipato na elimu alaf akatulia..unless amekupenda mwenyewe na hali yako anaitambua kabla ya ndoa....hata level ikiwa sawa kipato & elimu, bado kumuongoza ni taabu tuu,labda kama amekupenda kwa kweli hapo atakuheshimu...Takwimu zinasema idadi ya wanawake wasomi wanaoachika ni kubwa sana ukilinganisha na ambao sio wasomi.....wasio soma wana taabu yao but sio kama wasomi...hata hivyo inashauriwa Mke asikuzidi Elimu wala Kipato, kama mke wako ana diploma bas mwanaume uwe ba degree, kama ana degree bas uww na masters, hata kwenye kipato ni hivyo hivyo akipanda na ww jitahd upande pia...Zaid ya hapo hiyo ni ngekewa...tofaut kubwa sana ya kielimu na yenyewe sio nzur mana kuna kupishana sana kwenye maamuz.wasio soma sana kama la saba alaf ww una masters au degree na wao wana taabu yao, wengi wao huwaroga waume zao wakihofia mme anaweza kumwacha japo ndoa zao huwa zinadumu kwa sababu ya kuwa watiifu kwa waume zao ....Na sku zote mwanamke anategemea uimara wa mwanaume na kama mwanaume upo chini yake hasa suala la kipato na elimu tena kwa pamoja ni ngumu sana kumuongoza unless amefall sana kwako ni heri ukamzid kipato elimu hata akikuzid angalau......zaid ya yote MKE BORA HUTOKA KWA BWANA (NI MAJAALIWA)...unaweza pata msomi kimeo na unaweza pata la saba kimeo pia....
Inafaa kuandika essay
 
Wakuu Kuna kasumba 1 tunayo vijana ama wanaume, kwa wale waliosoma hawataki kuoa waliosoma wenzao Maana mtiti wake kwenye ndoa sio wa nchi hii.

Nami bora nijitenge mapema kabla sijaingia mkenge naoa zangu certificate na simuendelezi hapo panatosha.. Asije nifanya kama Mugabe mwaka juzi November wanawake hawa sio watu wazuri ukiwainua.

Baki ndani wewe mke ni wa kunilelea watoto na si kuchelewa kurudi nyumbani eti nimetoka kazini..

Majukumu yote ya kumhudumia Familia ni yangu..

Karibuni kwa wale wanaounga hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ushasema kasumba hyo inanipa moyo kuwa utakuwa muelewa ukieleweshwa kingne ukubali kuwa wewe ni mjinga(sio tusi ni sifa){mjinga ni yule ambaye hajui na anajua kuwa hajui,huyu ukimuelimisha anakuwa mwelevu ila mpumbavu yeye hajui na hajui kuwa hajui huyu hata ukimuelimisha kazi bure},kila mwanadam ana tabia zake na mihemko yake binafsi na sio kuweka kimakundi mfano kabila fulan ni malaya au watu fulan wako hivi(hilo ni kosa kubwa),unaweza kuoa wa darasa la 7 na ukapata shida kwa zarau na mengineyo yanayoletwa na tabia zake,wewe na degree yako unaweza kuoa mwenye masters na ukaheshimika mpaka ukashangaa,wewe unahisi alie chini nawe kielimu bac utamzid kipato na yeye atakuheshimu kwa sababu ya kipato,usiombee ampate mwingne mwenye kipato zaid yko tegemea negative impact,kifup omba MUNGU umpate ataekupenda kwa dhati na kukuheshimu wewe na sio ulichonacho so usiangalie kabila,level ya elimu au mengne kama hayo,unaweza kuoa mwenye degree na ukaamua ajiajiri badala ya kuajiliwa maana wanaume wengi tunahisi kuibiwa wake zetu makazini(SIO LAZIMA UUCHUKUE USHURI WANGU MAANA BANDO LANGU NDO LIMENITUMA NICHANGIE)
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom