Nina CPA, natafuta kazi

Nina CPA, natafuta kazi

Albizo

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
284
Reaction score
208
habarin wanajamii naomba msaada nipate kibarua, nina cpa ila bado mambo ya ajira hayajakaa vizuri, anayeweza kuniupdate kwa chochote shukran
 
Ulisomaje cpa ukiwa huna kazi?mnadhalilisha 2 hadhi ya cpa.
 
kusoma siku hizi fashion mkuu
unasema elimu ni fashion? mmmmh sidhani kama unaweza kuwa nguli kwenye fani yoyote, ukisoma kwa mtazamo huu. "elimu haijawai kuwa fashion, wala sio fashion na haitakuwa fashion kwa wakati wote"
 
habarin wanajamii naomba msaada nipate kibarua, nina cpa ila bado mambo ya ajira hayajakaa vizuri, anayeweza kuniupdate kwa chochote shukran
mkuu tufungue audit firm, inalipa nipm
 
Kumbulka huwez kiwa owner wa firm until upate practising certificate. ?......., ACPA-PP
 
Kumbulka huwez kiwa owner wa firm until upate practising certificate. ?......., ACPA-PP

Three years practising in professional auditing firm,ndo ukaanzishe yako,pia ndo utapewa muhuli na leseni ya kufanya biashara hii!!
 
Ulisomaje cpa ukiwa huna kazi?mnadhalilisha 2 hadhi ya cpa.

Amesema hayajakaa vzuri hajamaanisha hajafanya kazi.. Hujui unaweza kufanya kazi mahali ila hakuna uhakika wa ajira ya mda mrefu??
 
IPO kampuni ya jamaa aliniomba nimcheki MTU mwenye CPA. ni Kwa ajili ya kukukip buzy njoo tufanye kazi. n pm namba yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom