Nina 'business plan', sina mtaji

Nina 'business plan', sina mtaji

baby shizzo

Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
28
Reaction score
14
Habari wanajamvi,

Nina degree ya public relations and marketing nilihitimu mwaka jana, nimeomba kazi sehemu tofauti bila mafanikio. Mwenye mtonyo wa ajira anijulishe lakini nakata tamaa ya kutafuta kazi maana nimechoka.

Nina business plan yangu lakini sina mtaji dooh masikin mie! Tusaidiane ndugu zangu maisha magumu familia inanitegemea.
 
Habari wanajamvi,

Nina degree ya public relations and marketing nilihitimu mwaka jana, nimeomba kazi sehemu tofauti bila mafanikio. Mwenye mtonyo wa ajira anijulishe lakini nakata tamaa ya kutafuta kazi maana nimechoka.

Nina business plan yangu lakini sina mtaji dooh masikin mie! Tusaidiane ndugu zangu maisha magumu familia inanitegemea.
Mh umeongea kwa hisia masikini. Pole Mungu atakubariki
 
Pole sana! sasa familia wanakutegemea vipi na hali hata wewe mwenyewe bado hujasimama imara? pole sana ipo siku mambo yako yatanyooka dear
 
Habari wanajamvi,

Nina degree ya public relations and marketing nilihitimu mwaka jana, nimeomba kazi sehemu tofauti bila mafanikio. Mwenye mtonyo wa ajira anijulishe lakini nakata tamaa ya kutafuta kazi maana nimechoka.

Nina business plan yangu lakini sina mtaji dooh masikin mie! Tusaidiane ndugu zangu maisha magumu familia inanitegemea.
Nipe ur no
 
Habari wanajamvi,

Nina degree ya public relations and marketing nilihitimu mwaka jana, nimeomba kazi sehemu tofauti bila mafanikio. Mwenye mtonyo wa ajira anijulishe lakini nakata tamaa ya kutafuta kazi maana nimechoka.

Nina business plan yangu lakini sina mtaji dooh masikin mie! Tusaidiane ndugu zangu maisha magumu familia inanitegemea.
Tafuta hata kazi ya ualimu, ili ujimake upate mtaji ili uendelee na business plan yako, ukipata mtaji anza hata kwa Biashara ndogo tu.
 
Back
Top Bottom