Nina 7Mil Cash Nataka Kiwanja Arusha

Nina 7Mil Cash Nataka Kiwanja Arusha

cc12

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
1,018
Reaction score
397
Nina Mil 7 Cash Nataka Kiwanja Arusha Eneo liwe karibu na huduma zote za kijamii na lisiwe karibu sana barabara Kuu wala Lisiwe mbali vile vile ni PM kama Unacho kiwanja.
 
kuna viwanja karibu na shule ya secondary ilboru, kama upo serious pm
 
Ukienda kwa Mromboo utapata na chenji ya rada unabaki nayo.
 
Nina Mil 7 Cash Nataka Kiwanja Arusha Eneo liwe karibu na huduma zote za kijamii na lisiwe karibu sana barabara Kuu wala Lisiwe mbali vile vile ni PM kama Unacho kiwanja.
cc12 kwa aina ya eneo unalotaka bila kujali ukubwa kwa Arusha hupati chini ya 10 m+.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo hela niyamtaji wa tikiti maji
 
Duh! Very recently niligangaika sana kupata kiwanja Arusha! Yaan chini ya 10M utapata kiwanja cha ajabu kbs,
 
ahaa kumbe bado m7 mpaka 10 unapata kiwanja pande hizo?
 
Back
Top Bottom