Nina 10 million nahitaji gari

Nina 10 million nahitaji gari

mnyonda

Member
Joined
Apr 5, 2018
Posts
35
Reaction score
7
Poleni wadau nahitaji canter tipa ton 2 engine 32 au 33 namba yeyote au isuzu tipa ton 2 iwe bomba usisahau picha ahsanteni
 
Akili za majitaka hizo sio wote wana akili kama zako
 
hiyo pesa fungulia biashara ya kuuza chup! za mtumba.. sorry😱😱
 
Poleni wadau nahitaji canter tipa ton 2 engine 32 au 33 namba yeyote au isuzu tipa ton 2 iwe bomba usisahau picha ahsanteni
Kwa Pesa hiyo?bado uko chini sana,otherwise unataka Gari ya kukusumbua
 
Back
Top Bottom