Abusers huwa hawaachi rafiki! Think seriously abt that. Ongea na rafikiyo manake asipojua sasa atajua baadae. Ongea nae kwanza kama unahisi umemfananisha huyo kaka ili muongee uzuri.
Anajua kupenda kweli ndio maana "akalimfumania na shangingi".
Ukiingia kwenye hayo mahusiano ingia ukijua kwamba kama anayosema rafiki yako ni kweli uwezekano wa yaliyotokea kwake kukutokea wewe upo ikiwa huyo kijana hajabadilika. Kwahiyo uingie ukiwa umejiandaa na ukijua anaweza akakupiga. . . kucheat ili usije ukarudi ukilia umepigwa ama umetoka kufumania.
Ila pia kwa kumkatalia kwa vigezo hivyo tu kunaweza kukufanya upoteze mtu ambae angekua mzuri kwako kimahusiano kwasababu inawezekana rafiki yako aliongeza chumvi ili story inoge. . . inawezeka kakueleza tu kukwepa ukweli kama upo zaidi ya huu au kama ni kweli inawezekana jamaa alishabadilika..yani akili imekomaa sasa.
So spend time na mshkaji. . . onyesha nia ya kutaka kumjua kiundani zaidi na kumpa fursa ya kufunguka kwako.Pia unaweza kumwambia rafiki yako kwamba unamjua mshkaji na pia uko interested nae usikie atasemaje.Unaweza kushangaa story inabadilika ghafla.
Nimem-Text huyo kijana kumuuliza kama anamfahamu huyo shoga yangu, hebu ngojeni niwape summary ya jinsi tulivyo chat muda mfupi uliopita:
Mimi: mambo dear
yeye: safi my sweetheart, vipi kesho weekend can we meet and chat?
mimi: Nope, will be busy with chores here home
Yeye: ok, but we can chat via FB, wht do u think?
mimi: yeah........may I ask u something?
yeye: sure, ask!
mimi: eti unamfahamu xxxx
yeye: dont remember, kwani vipi?
Mimi: am just asking, hujawahi kusoma mkoa xxxxxx
Yeye: Yeah, nimewahi kusoma katika mkoa huo sometimes back...
Mimi: and you dont remember her!
Yeye: Sorry you said xxxx who?
mimi: her family name is xxxxx
yeye: Yeah, I remember her.........., do you know her?
mimi: I met her somewhere with friends and she mentioned your name...... now tell me how do you know this lady?
Ulipita ukimya fulani, nadhani alikuwa akitafakari, baadaye akajibu
yeye: Sorry, can we meet and talk about that, it is long story my sweetheart
mimi: ok, thank you...........