Nimwambie hali halisi?

Comrade mbona majibu yako wazi tu kwenye hill suala lako huyo demu wako wa zamani piga tofali mazima yaani unataka uuwe kiumbe kwa ajili ya huyo mpuuzi wako wa zamani? Huyo kipindi anakuzingua alishapata MTU sasa mambo yamemchachia ndio anataka kurudi kwako ogopa sana hawa viumbe, kingine cha kujifunza usipende /hutakiwi kupenda kwa moyo, penda kwa akili mana hawa viumbe tamaa ziko mbele sana huyo mwanamke piga chini angalia mbele.
 
We shwain ukiona binti anajibana kwako jua hilo tunda kuna niga analimega kila anapojisikia.

Sasa ukute huyo niga kakataa mimba huko kakutafuta wewe akulengeshe.

Shtuka. Utaweza kulea watoto wawili mmoja wa kusingiziwa?
Afu yeye ndio yuko mstari wa mbele kunipa moyo na ananiambia suala la kutoa ni rahisi tu kama pesa ipo
 
Kweli kaka sio kwamba nataka nirudiane nae ila pia najiuliza kuhusu huyu mpya maana tarehe alizoanza period na kumaliza nahisi kama nataka kushikishwa hivi
 
swala la mzunguko wa kuingia mwezini inabidi wanaume wengine wafundishwe kwa fimbo.
Asa madam kwa uelewa wako kama mwanamke hivi ukianza tar24 january ukamaliza 27,tarehe14 ya mwezi unaofuata ni danger?
 
You know..(whaat????)
That kid is not yours..(that can be right nigger)

Check... (Yoo)

Kamaliza period 27 Jan. Maanake hiyo 27 ndo ilikuwa siku yake ya 4/5 Toka ameanza bleed.
So, siku zake za hatari zilikuwa kuanzia tar 2,3,4, 5 &6 Feb au 3,4,5,6& 7 Feb.

Nigger...(yeah)
Mother fv*k

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kweli kaka sio kwamba nataka nirudiane nae ila pia najiuliza kuhusu huyu mpya maana tarehe alizoanza period na kumaliza nahisi kama nataka kushikishwa hivi
Unajuwa katika mizunguko wa hedhi kwa mwanamke anza kuhesabu siku anayoanza kuwa hedhini mpaka siku ya kumi na moja haijalishi hedhi yake inakoma kwa muda gani. Kuanzia hiyo siku ya kumi na moja hapo ndio danger zone inapoanzia sasa inabidi uvute kumbukumbu zako kwamba mlifanya tendo la jimai siku IPI? Kingine katika mahusiano lazima tuwe na maamuzi magumu maana wkt mwingine unaona kabisa mwanamke wako anaenda ndivyo sivyo lkn eti mwanaume unavuta subira labda atabadilika, Comrade ukiona demu ameanza kuleta mapuuza pasipo na madhaifu yako huyo tayari ameshaanza kuuza mechi, Piga tofali kabla hajakupiga yeye hawa viumbe ni zaidi ya Firauni tamaa zimewazidi mno baadae akifeli huko alikoenda utakuta anarudi tena kwako tena na majuto juu. Wanaume Tupende kwa akili wazee ukiona mapuuza yameanza usichelewe muwahi kabla hajakuwahi.
 
Alimaliza tar 27, je alianza tar ngapi? Km ameingia siku mbili je? 26, 27 akamaliza kuna wengine wana shida iyo, kuna watu wanapata Mimba adi siku ya 19
 
Asa madam kwa uelewa wako kama mwanamke hivi ukianza tar24 january ukamaliza 27,tarehe14 ya mwezi unaofuata ni danger?
ulitakiwa ujue ana mzunguko wa siku ngapi na tarehe ya kuanza bleed na ya kumaliza sasa unamwambia tu mim staki mtoto huku hujui unategemea nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…