leoniamahela
Member
- Nov 18, 2013
- 12
- 4
jiulize hivi wewe una nini cha kumzidi huyo mwenzio hivi kwamba adumu na wewe asikuache kumfuata mwingine?jiulize huyo mwenizo alipendwa mwanzoni hivyo hivyo upendavyo wewe lakini sa hivi anataka kuachwa wewe u nani usiachwe?huna mapungufu?we ni malaika hukosei?uko tayari kukosana na rafiki yako na pengine mmeshibana sana kwa ajili ya kijana huyo asiye na hekima?ukishatafakari hayo maswali nadhani utajua ni maamuzi yapi sahihi kwako,kila la kheri.
Mwenzenu nina mpenzi lakini nikaja kugundua nina mwenzangu ambae walikuwa wote kwa muda mrefu lakini huyu mwanaume anasema eti hampendi yule mwanamke. Sasa nifanyeje maana anadai nimpe muda wa kumuacha.
Nipeni ushauri je nimpe huo muda au niachane nae??
Mwenzenu nina mpenzi lakini nikaja kugundua nina mwenzangu ambae walikuwa wote kwa muda mrefu lakini huyu mwanaume anasema eti hampendi yule mwanamke. Sasa nifanyeje maana anadai nimpe muda wa kumuacha.
Mwenzenu nina mpenzi lakini nikaja kugundua nina mwenzangu ambae walikuwa wote kwa muda mrefu lakini huyu mwanaume anasema eti hampendi yule mwanamke. Sasa nifanyeje maana anadai nimpe muda wa kumuacha.
Nipeni ushauri je nimpe huo muda au niachane nae??