Kumchagua Mchungaji Slaa ni kuisalit nchi, hizi article zinaonyesha wazi nchi itaendeshwa kibibilia sio kiutaalam wa kisiasa na uchumi, hasa ukizingatia mchungaji kasomea na kuandika assignment kuhusu bibilia ambayo watanzania hawatofaidika kabisa na hiyo bibilia
Na ndi ata mchungaji Slaa kaamua kuachana na bible na kufuata ngono na ulaji kwenye siasa, mchungaji Slaa kavunja miko yote ya Upadri kama vile kuowa na kuacha pia kuowa tena mke wa mtu
Hii inaonyesha wazi huyu mchungaji si wa kuamini, kote aliko ingia kaamua kutoka, alikuwa kada mkubwa wa ccm kabla ya kukimbia kanisa, huyu ni msaliti asieaminika!!!