Ndugu zangu nauliza leo..!! ili nipate kufahamikiwa, nilikuwa mimi na babaaa... mama... mke... na mwanangu......,tuliifanya safariii tukiwa ndani ya ngarawa, katikati ya bahari ngarawa yetu ilizama......
ndungu zangu nifahamisheni NIMUOKOE NANI......., uwezo wangu ni wa mtu mmoja sasa nifanye ninii...?
ushauri wako ni upi maalim Gurumo amuokoe nani kati ya watu wanne aliokuwa nao ktk ngarawa.........?