masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,802
- 16,836
Mwanamke mjasiri waMkuu nimeleta maudhui bado sijaoa nahitaji uchambuzi wenu nipate nguvu ya MAAMUZI sahihi
@
1.amebeba mimba ya mume wa mtu
2.analala na wewe akiwa mjamzito wa mimba ya mtu
Trust me ujasiri wake ni mbaya hana uoga na mwanamke asie kua muoga hata wewe huko mbele anaweza kukupiga tukio
Hiyo mimba ina miezi mingapi?
Naamini huyu ndo unampenda hao wengine huwapendi
Lakini huyu ndo ana hiyo changamoto.
Cha kwanza watoe kwanza kwa equation hao wengine
Cha pili analyze hayo mambo hapo juu kuhusu huyo mwenye mimba
Cha mwisho kama huyu utamuondoa pia andaa mkeka mpya ila hao wengine usiwaoe maana ni dhahiri uwafeel utawachoka mapema



