Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,347
Nimekaa nimewaza jambo fulani ,
Hivi kila mahali kuna manabii.
According to the bible kuna watu badhii walikuwa manabii. Ila saivi kila kona ya nchi manabii wapo sasa najiuliza kila mtu ameagizwa tanzania au africa kuwaokoa kilichopotea??
Hivi kila mahali kuna manabii.
According to the bible kuna watu badhii walikuwa manabii. Ila saivi kila kona ya nchi manabii wapo sasa najiuliza kila mtu ameagizwa tanzania au africa kuwaokoa kilichopotea??