Nimpige chini?

Umesha mpachika mimba binti wa watu '---halafu una Tafuta sababu za kumuacha

Baadae akija kuzaa mtoto --- mnakuja Jf na kuanza kuwa kashifu single mothers. ..

Huo sio Uungwana aise
Angalau umesema wewe mwanaume mwenzie
 
Vjana bwana

sasa we upokei unakua busy, lakini ye asipo pokea basi unahisi anatobw*

mwizi siku zote uhisi anaibiwa

pole tatzo ni umri wako mkuu nimesha guess na nimejua 27,28
ha ha h ah ha hapana mkuu mapenzi hayana umri,ndio maana mzee wa miaka 70 anakuwa mtoto kwa binti wa miaka 20 akinyonya maziwa.
 
Hahaha. .Daah! !!Kwahiyo kinacho kusumbua ni wivu?

Hebu nipe namba yake -ni jaribu kumpigia huwenda akapokea --kisha nimseme juu ya Tabia yake ya kuacha kupokea simu yako
ha ha ha ha nikikupatia namba hutoonekana jf utakuwa unakaba muda wote
 
Michepuko kuna kipindi inajichetua na kukengeuka mpaka unatamani umuombe wife ushauri.
Wa kwangu una wiki hupokei simu wakati mara ya mwisho umenipa mambo matamu, sarakasi kama zote, na nilitegemea kumuomba wife apande cheo.
ha ha ha ha ha
 
Hauwezi kumuacha mkuu, cha msingi punguza wivu, umeoa wacha na yeye atafute wa kumuoa
 
Nashindwa kuelewa kwa nini hapokei....kwa sababu kuna muda alinipigia nikawa bize,baada ya dk 10 kumpigia hapoke simu,nimepiga mara 7,hakuna kitu.
Hahahahaha ,amenuna huyo !!! Mama kijacho lazima awe na moods
 
Usijisahau kuwa nawe ni mchepuko ivyo ngoma droo
 
Kwani makubaliano yalikuwa?? Umemsaliti mkeo u? And ur complaining??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…