Weee........hatufanani hata kidogo......nani wa kupigwa badala ya kulia anacheka........
wanasema,'Ndimgaya sida'. Rekebisha kidogo.
kama mdesi longe nano kama nyenye mgayi kivipa ndb
Hahahaa haaaa yaaani nimecheka
kumbe unakijua eeh
Unataka kuoa huko au search yako inalenga nini hasa
Hahaha...kidogo tu besti
Dr.....
Aje aje Dr...??
Poa sana Dr.......nilikuwa nakusalimia tu.....
Oooh niko poa kabisa Dr...vipi pande hizo za Mongolia wazima wote
Mie pia ni mhehe na pia nimeoa mhehe toka kalenga na mie ni mkazi wa dabaga, wivu wanao lakini ishu ya malezi nawapa tano.