JJ10
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 282
- 133
Heshima kwenu wakuu!
Kwakweli siwafaham kiundani ndugu zangu wahehe zaidi yakuwasoma kwenye historia! Ila napata sifa za mabinti wakihehe' pia kuna wengine wananionesha hata mifano ya ndoa za watu waliofanikiwa kuishi na wanawake wakihehe.
Wanawake wakihehe wanasifiwa sana na baadhi ya sifa zao ni ;
1) kujiamini na kujitambua
2) Hawana tamaa' yaani ni watu wakuridhika nawalicho nacho na ndo hapo linapotokea neno NDIMGAYA SHIDA (kwamba hata kama ananjaa ukitaka kutumia njaa yake kumpata atakwambia sina shida)
3) walezi wazuri wafamilia
Hizo ni baadhi tu ya sifa nilizozipata!
Hata hivyo kila kizuri hakikosi kasoro' nawao pia naambiwa
1) wana hasira saana
2) wanapenda kudekezwa na kubembelezwa saana!
Huo ni wasifu mdogo nilioupata juu ya hawa wanawake wakutoka Iringa!
Najua tunawehehe wengi hapa jukwaani hivyo nategemea kupata uhalisia kutoka kwao au mtu anaewafaham vizuri hawa ndugu!
Kama wewe umeoa mhehe ebu tupe uzoefu.
Karibuni wandugu.
Kwakweli siwafaham kiundani ndugu zangu wahehe zaidi yakuwasoma kwenye historia! Ila napata sifa za mabinti wakihehe' pia kuna wengine wananionesha hata mifano ya ndoa za watu waliofanikiwa kuishi na wanawake wakihehe.
Wanawake wakihehe wanasifiwa sana na baadhi ya sifa zao ni ;
1) kujiamini na kujitambua
2) Hawana tamaa' yaani ni watu wakuridhika nawalicho nacho na ndo hapo linapotokea neno NDIMGAYA SHIDA (kwamba hata kama ananjaa ukitaka kutumia njaa yake kumpata atakwambia sina shida)
3) walezi wazuri wafamilia
Hizo ni baadhi tu ya sifa nilizozipata!
Hata hivyo kila kizuri hakikosi kasoro' nawao pia naambiwa
1) wana hasira saana
2) wanapenda kudekezwa na kubembelezwa saana!
Huo ni wasifu mdogo nilioupata juu ya hawa wanawake wakutoka Iringa!
Najua tunawehehe wengi hapa jukwaani hivyo nategemea kupata uhalisia kutoka kwao au mtu anaewafaham vizuri hawa ndugu!
Kama wewe umeoa mhehe ebu tupe uzoefu.
Karibuni wandugu.