Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Mkuu mie nakushauri nenda misa ya pili kama umezoea kwenda ya kwanza au vice vesa, hapo utakuwa umesolve tatizo if at all hayupo akilini.
Anataka upako toka kwako
siyo huyo tu bali yupo
na mwingine, ila huyu new girl amempiku mwenzie naona yule mwingine
kanuna amehama mpaka benchi..she is cute kwakweli..i am tempted..i seat
the same place every day..na anakuja mwenyewe..tena she looks for
me..sijamfata yeye..not below 18 ofcourse ..matured ..both are..
Aaah Kisukari, watu wanaenda Kanisani kwa Malengo mengi, moja wapo ni kutafuta wachumba, huenda mleta uzi ni mmoja wapo so Mungu kamdondoshea, kamtafunia sasa asj=hindwe mwenyewe na kuja kumlaumu Alah Baadaeusije ukatongoza watoto wa under 18,shauri yako.mwache binti wa watu kama alivyo.wewe si unaenda kanisani kusali?fata kilichokuleta kanisani.kama unae mpenzi huyo uliekuwa nae anakutosha.
Kama kanisani ulienda kwa Minajili ya Kumuomba Mungu akupe Mchumba, basi Mungu kajibu maombi yakoWadau, nimfanyaje huyu binti, tunasali kanisa moja, ila anapenda sana kuja kukaa pale ninapo kaa mimi kila mara wakati wa misa, atategea kuona nakaa wapi atakuja kukaa hapo hapo, na mara nyingi hupenda kushare na mimi vitabu vyake vya nyimbo na neno.
Hivi ni viashiria gani..anataka nimtongoze ama anjisikia vizuri tu kukaa na mimi..jumapili iliyopita nilifikiri atachelewa lakini kaja muda uleule, na kanifuata moja kwa moja kukaa na mimi..ni mzuri tu..ila najiuliza mara mbili mbili kama ni sahihi kutupa ndoano nisije jutia bure..msaada tutani
Wadau, nimfanyaje huyu binti, tunasali kanisa moja, ila anapenda sana kuja kukaa pale ninapo kaa mimi kila mara wakati wa misa, atategea kuona nakaa wapi atakuja kukaa hapo hapo, na mara nyingi hupenda kushare na mimi vitabu vyake vya nyimbo na neno.
Hivi ni viashiria gani..anataka nimtongoze ama anjisikia vizuri tu kukaa na mimi..jumapili iliyopita nilifikiri atachelewa lakini kaja muda uleule, na kanifuata moja kwa moja kukaa na mimi..ni mzuri tu..ila najiuliza mara mbili mbili kama ni sahihi kutupa ndoano nisije jutia bure..msaada tutani
Wadau, nimfanyaje huyu binti, tunasali kanisa moja, ila anapenda sana kuja kukaa pale ninapo kaa mimi kila mara wakati wa misa, atategea kuona nakaa wapi atakuja kukaa hapo hapo, na mara nyingi hupenda kushare na mimi vitabu vyake vya nyimbo na neno.
Hivi ni viashiria gani..anataka nimtongoze ama anjisikia vizuri tu kukaa na mimi..jumapili iliyopita nilifikiri atachelewa lakini kaja muda uleule, na kanifuata moja kwa moja kukaa na mimi..ni mzuri tu..ila najiuliza mara mbili mbili kama ni sahihi kutupa ndoano nisije jutia bure..msaada tutani