boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,104
- 1,385
Habarini wakuu
Nimewaza kuanzisha biashara ya vipodozi wakati naendelea kuitafakari na kuzungukazunguka hapa mjini nimewaza kupanga frame then niikate katikat upande mmoja niweke urembo na vipodozi upande mwingine niwatafute vijana wasafisha kucha wawili then niwaweke pale wawe wanasafisha kucha na kufanya huduma nyingine zinazofanana na hizo kama kuosha miguu, vifaa vyote viwe vyangu then tutalipana kutokana na kazi watakazofanya
Wakuu nakaribisha ushauri, maoni au hata anayejua utaratibu faida na hasara za kufanya hivyo
Nimewaza kuanzisha biashara ya vipodozi wakati naendelea kuitafakari na kuzungukazunguka hapa mjini nimewaza kupanga frame then niikate katikat upande mmoja niweke urembo na vipodozi upande mwingine niwatafute vijana wasafisha kucha wawili then niwaweke pale wawe wanasafisha kucha na kufanya huduma nyingine zinazofanana na hizo kama kuosha miguu, vifaa vyote viwe vyangu then tutalipana kutokana na kazi watakazofanya
Wakuu nakaribisha ushauri, maoni au hata anayejua utaratibu faida na hasara za kufanya hivyo