Mbona haueleweki ulichokiandika.[/QUOTE
Mkuu nilichoelewa mimi ni hiki kwa upande wangu
1. Mikutano bila kusomba watu kwa magari hakuna atakayehudhuria, kifupi watu wameshachoshwa na maneno maneno tu hivyo kutokana na hilo ili kupata watu lazima ugharimie, ugahrimike na ikiwezekana uwalipe.
2. Enzi za kudanganya imekwisha, maandalizi ya kuhutubia watu ni lazima yafanyike vinginevyo watu wataaibika kama siyo kutoabishwa
3. Ni dalili kuwa mwaka 2015 kutakuwa na kazi kutoa hesabu ya yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitano, kukubalika hakutotegemea kujua kuongea bali umefanya nn .