Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Karibu sana Jamvini...
karibu sna............hbu we mtto pokea hyo MIHOGO hyo kwa mgeni
Karib mkuu tupe vtu hadmu kutoka shamba.
Shamba gani mkuu?Habari waungwana...
MzeeWaShamba hapa, mgeni wenu humu jamvini...
WanaJF naomba mnipokee...
Shamba gani mkuu?
Karibu sana mkuu.
Mzee, mzee, mzeee wa shamba karibu jamvini, ila jitahidi kufuata kanuni na miongozo la hili jukwaa
nimekupata papason...
nitafanya hivyo mkuu!! pande zp mda huu wewe?? wahi soko la Tandale hapa ujipatie zawadi za shamba!!
Thanks mkuu, nimekaribia
Umepata kinywaji lakini??? Au hawa uliowakuta wamesahau kukupatia kutokana na furaha ya kupata mizigo toka Shamba??? Subiri Chatu Dume akuletee kinywaji....
Sheria zenyewe hizi hapa...........JamiiForums Disclaimer and Rules
karibu sana mkuu...