Nimewakuta wanajipanga!!!

Nimewakuta wanajipanga!!!

Private investigator

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
303
Reaction score
287
Eti kuanzia sasa hawamgusi mtoto wa mtu, zile taratibu na kanuni ndizo zitakazofuatwa.
Hofu yangu ni mlolongo na ubutu wa hizo taratibu, bureaucracy na muda utakaopotezwa kwa ishu ndogo.
Walivyojipanga naliona anguko la nidhamu na future ya vijana wetu, wadogo zetu na watoto wetu.

Madai ya msingi in kuwa, mbali ya wana taaluma hao kuwa na shida kibao, malalamiko kibao kwa hao watoa matamko lakini yao yanapuuzwa kana kwamba hayaonekani.
Wakaenda mbali zaidi na kuhoji, Mani ametoa tamko kuhusu mishahara yao, ajira mpya zilizopigwa stop, vyoo vyao kazini, ofisi zao, mapunjo yao, na mengine kibao.

Wakahoji zaidi kuhusu wenzao wanaopigwa na watoto hao hao mf: Mpanda nk. Kimsingi wakadai sasa "kama mbwai, mbwai tu", kila mtu atakula alikopeleka mboga.
Hii ni hatari na inabidi wenye matamko watamke upya, wenye kuadhibu waadhibu upya, wenye kupeleleza nao wapeleleze upya.
Ni hayo tu.
 
Nacheka sio kwamba ni mazuri aah, ila naona maigizo ya kitoto kwa watu wazima
 
Kwa lipi? Kwamba baada ya kile kipigo cha mtoto wangepewa hongera? Jamii ingezungumzia matatizo yao? Wangepandishwa mishahara? Hao watakuwa walimu wa mwendo kasi wanao panga hayo..... na watashindwa vibaya.... tutawasuport kwenye issue zao za haki lakini si kwa kuhalalisha kile kipigo kwa yuke mtoto....
 
Eti kuanzia sasa hawamgusi mtoto wa mtu, zile taratibu na kanuni ndizo zitakazofuatwa.
Hofu yangu ni mlolongo na ubutu wa hizo taratibu, bureaucracy na muda utakaopotezwa kwa ishu ndogo.
Walivyojipanga naliona anguko la nidhamu na future ya vijana wetu, wadogo zetu na watoto wetu.

Madai ya msingi in kuwa, mbali ya wana taaluma hao kuwa na shida kibao, malalamiko kibao kwa hao watoa matamko lakini yao yanapuuzwa kana kwamba hayaonekani.
Wakaenda mbali zaidi na kuhoji, Mani ametoa tamko kuhusu mishahara yao, ajira mpya zilizopigwa stop, vyoo vyao kazini, ofisi zao, mapunjo yao, na mengine kibao.

Wakahoji zaidi kuhusu wenzao wanaopigwa na watoto hao hao mf: Mpanda nk. Kimsingi wakadai sasa "kama mbwai, mbwai tu", kila mtu atakula alikopeleka mboga.
Hii ni hatari na inabidi wenye matamko watamke upya, wenye kuadhibu waadhibu upya, wenye kupeleleza nao wapeleleze upya.
Ni hayo tu.


Napinga vitendo vya Walimu kunyimwa au kucheleweshewa madai yao ya msingi au stahiki zao.

1. Siungi mkono huo mgomo baridi wa Walimu kuwasusia Wanafunzi kisa kuzuia adhabu za Bakora hovyo hovyo kana kwamba hawana njia nyingine mbadala za kuelimisha na kuadabisha Watoto.
2. Serikali iweke mfumo ambao kila Mwalimu atapimwa kwa matokeo ya Watoto anao wafundisha (Results based) sio kusubiri matokeo ya Darasa la Saba.
3. Mwalimu atakeonekana kushindwa au kupwaya katika masomo yake hatua stahiki zichukuliwe ikiwemo kupewa Mitihani Maalumu na akishindwa kumruhusu aende akafanye shughuli nyungine.
4. Walimu, Wazazi na Jamii kwa ujumla tutimize jukumu letu la kumlea Mtoto yeyote katika mazingira yetu ile dhana nzuri ya " Mtoto wa Mwenzako ni Wako' irejeshwe kwa kuendana na mazingira ya uatandawazi
 
kungekuwa na utaratibu kabla ya kwenda kusomea ualimu vichwa vipimwe.ni wazo tu
 
Eti kuanzia sasa hawamgusi mtoto wa mtu, zile taratibu na kanuni ndizo zitakazofuatwa.
Hofu yangu ni mlolongo na ubutu wa hizo taratibu, bureaucracy na muda utakaopotezwa kwa ishu ndogo.
Walivyojipanga naliona anguko la nidhamu na future ya vijana wetu, wadogo zetu na watoto wetu.

Madai ya msingi in kuwa, mbali ya wana taaluma hao kuwa na shida kibao, malalamiko kibao kwa hao watoa matamko lakini yao yanapuuzwa kana kwamba hayaonekani.
Wakaenda mbali zaidi na kuhoji, Mani ametoa tamko kuhusu mishahara yao, ajira mpya zilizopigwa stop, vyoo vyao kazini, ofisi zao, mapunjo yao, na mengine kibao.

Wakahoji zaidi kuhusu wenzao wanaopigwa na watoto hao hao mf: Mpanda nk. Kimsingi wakadai sasa "kama mbwai, mbwai tu", kila mtu atakula alikopeleka mboga.
Hii ni hatari na inabidi wenye matamko watamke upya, wenye kuadhibu waadhibu upya, wenye kupeleleza nao wapeleleze upya.
Ni hayo tu.
Watanzania sisi ni bora ya kenge pori kabisa,kwa jinsi alivyo pigwa yule mwanafunzi kuna watu wana akili za mavi wanaona sawa tu.... hili taifa lina laana ya Mungu siyo bure.
 
Back
Top Bottom