Nimewakumbuka wapiga gitaa hawa wa enzi hizo

KACHINJA

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
1,263
869
Kuna Watu walikuwa na vipaji kwenye ulimwengu wa muziki hasa WA kikongo. Kuna jamaa alikuwa anaitwa diblo dibala alkuwa mpiga solo getter maarufu Sana. Hata hvyo baadaye akatokea kijana mwingine daliki moko alifanya kazi ya kupiga gitaa na wasanii weng Sana.moja ya kazi zake alifanya na yondo sister alimpigia kitaa mpaka yondo akachanganyikiwa na kumvulia chupi.
 
Mkuu ulikuwa wapi muda wote? Kweli yule jamaa alikuwa mpiga getter maarufu Sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom