New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,435
- 2,661
Ungeweka picha ya hilo jicho lililovimba, ili tukusaidie zaidi!
Hio ni baraka na ninakwambia kuwa kwa JINA la YESU umeshapata kazi,
kuna watu watakuja kuomba picha, just ignore them hio ndio JF
Umenichekesha, lakini pole zangu.
Eti unasafiri kwenda kwenye intavyuu, ingekuwa intavyuu ya ubondia ungepata moja kwa moja.
msaada wataalam..nimeumwa na nyuki mchana huu jicho limevimba sana naomben msaada kwa anayejua dawa ipi ya asili au ya dukan itakayonisaidia kupunguza uvimbe maana kesho nnasafari kwenda kwenye interview...msaada wenu wakuu
Pole mkuu, pakaa asali
nimepaka asali tayari
mh kisaikolojia sijawa poa tokea niumwe na huyu nyuki ukizingatia interview
ebhane bado sijaona changes..wengine wanasema nikilala usiku ntakavo amka limezidi sijui kuna ukwel????