amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 462
Mkuu hii thread mbona clouds wanaitungia story huko eti diva anadai ametafutwa wakati katoa humu wao wanaingiza mpunga wewe mambo yatakuwa hadharani sasa E atajua na mkeo waambie wakulipe braza
Then kaenda kwa waswahili wamemtengeneza ili amwaminishe jamaa yy yupo vizuri ili apate matunzo na ikibidi ampige chini wa ndoa wake....Hajui kuwa ni mtego! Pole ndugu yangu kaulize wakubwa uambiwe what evil women can do...Tena akikuongezea na love portion utamtimua mkeo na mtoto kama vijibwa....The first questions meant a lot...that was a plot...unampenda mke wako imagine what a question....A 32 yrs old, looking for a child. Pole sana, seems hata hukuelewa huyo E anataka nini, you're a father-to-be, mark my words!!
Bosi hii stori hata kama imetungwa iko poa sanaHivi ni mimi tu ndie ninae ona kuwa hii ni story ya kutunga?
Mmh,alitumia kinga na keshakuambia E alikua ktk safe days kwakua alikua namaliza mzunguko Si muda. Kinga inataka ujasiri mkuu, kuteleza Kuna raha yakeI just hope ulitumia kinga.
Amen!!Mkuu mm hapa hata ushauri sina, maana sisi ndiyo akina wafalme mswati, E angekutana na watu kama mm Basi angekua kapata temporary husband kabisa.
Ila kwa ww kwakua Si hulka yako,Basi muombe Mungu akuepushie hilo.
ni hatari sana...Diva mungu anakuona
Mentor ongea na mshikaji anipe namba ya E to solve automatically ugomviI just hope ulitumia kinga.
Kwani kuhama idara ndo itakuwa mwisho kuonana? Dont act like a kid bhana, cha msingi kama kweli dhamila ya kutomsaliti mkeo kwa mara nyingine unayo basi muheshimu huyo E na kuanzia leo stori na yeye ni za kikazi tu. Epuka closeness na yeye ofisini wala kutoka out pamoja.Mkuu i love my wife, hapa nilipo naona hata aibu kumsogelea.
E kaniahidi sana kuitunza heshima yangu, ikiwa shida itabidi ahame idara japokuwa na nafasi yake ichukuliwa na idara nyingine, hili linawezekana.
nimecheka kama mazuriHongera bwana d kwa kumchafua e ila usiumie bwana z akimchafua wife wako
mwekundu omba namba, hahahhahahahahahaHiyo machine jinsi ulivyosimulia nimeitamani sana
Ukisikia alimwagia mapajani ujue kinga hamna. Tena kajitetea alikuwa siku salama.I just hope ulitumia kinga.