Nimeumia sana! Nisamehe E, sitakuchafua tena

Hapo tayari ushategeshewa mimba!!

yaani akubali kirahisirahisi na kukushukuru.

subiri baada ya mwezi uambiwe anajisikia kichefuchefu.
 
Hapo tayari ushategeshewa mimba!!

yaani akubali kirahisirahisi na kukushukuru.

subiri baada ya mwezi uambiwe anajisikia kichefuchefu.
Impossible mkuu, kabla ya mwaka mpya alikuwa mwezini! hili nililijua hata kabla yakukutana naye! kwenye stori stori
 
Lakini pia mjifunze kusameheana hata kama mmoja hataki kuomba msamaha.

mchukuliane ili life lisonge...la sivyo hivi vitu vidogo vya kutaka kuombwa msamaha kuna gharimu ndoa sana
ni kweli ilikuwa vyema pia as hatukuvuka mwaka na deni.
 
wait it out, ukimuhamisha sasa ivi ndio uchafuzi utaanza sasa. lakini haka kamchezo ukishaanza kagumu kukaacha! katamu! goodluck...
 
Hili song might be suitable dedication_Nisamehe by baraka the prince,
 
Mkuu uyo mkeo inaonekana ni mstaarabu sana....sipati picha angekua type ya wanawake flani flani nadhani uyo E angeoga mitusi nawewe ungekoma kabisa maana ofisi nzima wangejua mgogoro wenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom