umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 675
Habari za wakati huu
Jamani mie katika vitu nlivyojaribu kuulazimisha moyo wangu na umekataa ni kujilazimisha kumpenda mtu cjui n kwa nn jaman moyo wangu kwa nini unanifanyia hivi?umekuwa mgumu hata pale nnapoutaka umpende mtu kwa kujilazimisha umekataaa kabisa,,kwa nini inakuwa hivi?why moyo wangu upo hivi?
Jamani mie katika vitu nlivyojaribu kuulazimisha moyo wangu na umekataa ni kujilazimisha kumpenda mtu cjui n kwa nn jaman moyo wangu kwa nini unanifanyia hivi?umekuwa mgumu hata pale nnapoutaka umpende mtu kwa kujilazimisha umekataaa kabisa,,kwa nini inakuwa hivi?why moyo wangu upo hivi?