marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Nimepokea 2M nilikua bado sijaelewa kimbe abari ndo iyo?
Sasa Mkuu hivyo si vijisenti tuu kutokana na jina lako?
Nimepokea 2M nilikua bado sijaelewa kimbe abari ndo iyo?
nimetumiwa 58,000 pia..walishatangaza kugawa 20b kama gawio kwa wateja wa mpaka sept 2014!!
Katika hali si ya kawaida nimetumiwa hela na Vodacom! Zaidi ya elfu hamsini kama faida. Sasa sijui wamekosea ! View attachment 273564 nipeni uzoefu wa hii mitandao
Ndio nani??????????????Sasa wewe ndorooobo
Kwan una hisa huko? Maana tunavyojua ulipaswa kuwekeza ili faida ikipatikana mgawane wana hisa! Kama hukuwekeza kazitoe ukale kitimoto maana ni kharam kabisa