Nimetumia ukauzu leo kwa bibie

Nimetumia ukauzu leo kwa bibie

For emphasis hahaha .
Asante sana naona mwisho umekazia kama kwenye ule uzi ulotoa. Safi hiyo

Cc Smart911
What is hela ya nauli by the way? Mi huwa sipokei hela ya mwanaume kiboya. Mafuta full tank muda wote kwa bill yangu. Meal and accommodation nalipa. Unapilipa gharama una gain nguvu, mamlakà na ushawishi.
Wanawake tutafute elimu na pesa, ndio njia pekee ya kuwashinda wanaume
 
JIWE KWA JIWE [emoji3][emoji3][emoji3] Hii Ni Aina Flani Kukomoana Tu

Kiukweli hiyo tabia hata mimi siipendi, mimi ukitaka tukosane ufanye mchezo wa kunipotezea muda namna hiyo ila kurudisha hela umekuwa kauzu duuuh
 
Back
Top Bottom