YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Wakuu, wakati mwingine hawa viumbe wanazingua sanaa... Nanena kwa jaziba #***#
Eti tangia weekend iliyopita alikuwa ananipigia simu kunambia kaMiss kitu na box na mimi hivyo tupange muda, Siku hiyo akanicheck kabisa kwa simu kusisitiza kama mimi nachelewa kupanga siku basi apange yeye...
Leo sasa nimeomba hadi ruhusa kwa boss, ili nikutane naye, na nauli nikamtua tena KWA maana alinambia ana mishe za kupitia mjini asubuhi nikamuongezea na cha juu...
Dadesi baada ya kutuma ananitumia msg eti nikitoka kazini nimshtue aanze kujiandaa maana ameamka anasikia maumivu kwenye mshono "

" kwanza nikachrka nikaona hii kamba...
Kidume nikampigia hapo tayari nishatoka job, nikampa pole na kumuuliza huo mshono umekuwa nao tangia lini wakati kila siku tunapekuana na sijaona sehemu umeshonwa?? Akawa anacheka cheka...
Alivyokata tuu simu nikawapigia Operators wa simu waweze kurudisha muhamala wangu wakasema keshatoa huyoo...
Hapo ndipo nikafura dadesiii nikampigia kwa mara ya pili kuwa anitumie iyo pesa nina shida nayo sanaa halafu nitamtumia kesho kama ilivyo...
Kanuna Ila Karudishaa,

LEO NIMEFANYA UKAUZU KWA HAWA VIUMBE
Eti tangia weekend iliyopita alikuwa ananipigia simu kunambia kaMiss kitu na box na mimi hivyo tupange muda, Siku hiyo akanicheck kabisa kwa simu kusisitiza kama mimi nachelewa kupanga siku basi apange yeye...
Leo sasa nimeomba hadi ruhusa kwa boss, ili nikutane naye, na nauli nikamtua tena KWA maana alinambia ana mishe za kupitia mjini asubuhi nikamuongezea na cha juu...
Dadesi baada ya kutuma ananitumia msg eti nikitoka kazini nimshtue aanze kujiandaa maana ameamka anasikia maumivu kwenye mshono "


" kwanza nikachrka nikaona hii kamba...Kidume nikampigia hapo tayari nishatoka job, nikampa pole na kumuuliza huo mshono umekuwa nao tangia lini wakati kila siku tunapekuana na sijaona sehemu umeshonwa?? Akawa anacheka cheka...
Alivyokata tuu simu nikawapigia Operators wa simu waweze kurudisha muhamala wangu wakasema keshatoa huyoo...
Hapo ndipo nikafura dadesiii nikampigia kwa mara ya pili kuwa anitumie iyo pesa nina shida nayo sanaa halafu nitamtumia kesho kama ilivyo...
Kanuna Ila Karudishaa,


LEO NIMEFANYA UKAUZU KWA HAWA VIUMBE