Nimetukanwa lakini nastahili

Nyani wa Somanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2026
Posts
411
Reaction score
563
Huyu Bamedi leo kanikomesha aise.

Nilikuwa kaunta napata Moja baridi Moja uvuguvugu, ghafla akatokea mwamba, yule mwamba kwa sauti ya majivuno na yamajigambo si akamwambia yule Bamedi:

We Changu mbele si akamalizia na Doa, chukua bia kumi unywe uku akitoa wallet na kulipia ule mkojo wa Filauni.

Alivotoka yule mwamba kama hatua 3 hivi, si nikamfata yule bamedi nikamkonyeza akaja, nikamwambia:, kumbe wewe inakulipa sana eti? Yani huyu Popoma kakupombekesha muda mchache hivi!?
Unataka kujua tusi aliloniachia huyu Bamedi!?

Alinambia: kama vipi mpelekee ulambe Bingo na wewe.

Dah! Nilitamani nimrukie aise.
 
CCM na mafisadi ndio wanapenda kuona vijana w tanganyika wakijadili mambo km haya.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Umeshalewa.Usiendelee kuandika utaharibu.
 
Mambo ya kumwagilia moyo sio ? Uliyataka mwenyewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…