Nimetongoza miaka mitatu sijaona ndani

Nimetongoza miaka mitatu sijaona ndani

Buj

Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Habari zenu?

Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu.

Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe.

Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.
 
Labda kama sijaelewa, umesema hauhitaji kumuoa then unaendelea kumtongoza ili uone ndani halafu ufaidike na nini? huo muda unaopoteza kwa ajili ya kuona ndani tu, heb tafuta sehemu kuna wanawake wameacha milango wazi tena hata bila pazia huhitaji kugonga mlango unaingia tu la sivyo utakaa hapo nje mpaka ukome na mlango usifunguliwe maana miaka mitatu yote haujafunguliwa mlango unategemea nini tena hapo chapa lapa tu
 
Habari zenu?. Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu. Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe. Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.

Tatzo una mkono mfupi. Vunja kibubu hcho kijana otherwise utaishia kula nyeto. Tehe
 
Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.

Utakuwa na nyota ya ruba wewe yaani wang'ang'ania hata kwa yasio yako...

Mwanamke si wako, kutongoza hujui lakini bado umo tu kama nzi amwandamaye mtoa mashuzi....khaaa!!!
 
Habari zenu?. Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu. Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe. Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.

je anawapa wanaume wengine? kama anawapa wengine wewe hakupi fahamu kuwa huyo si wako, hana feeling na wewe. Kwa kuwa haku-feel ukimfuata anavyojisikia ni kama wewe utakavyojisikia ukilazimishwa utembee na nyani au mbuzi. Acha kumfuatafuata unamtesa sana.
 
Habari zenu?. Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu. Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe. Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.

Hujui kuimbisha tu. Nikabidhi mimi huyo nikutongozee nakuletea leoleo jioni ule mzigo wako kwa raha zako muhimu uweke malipo ya uhakika miaka 3 wewe na kipaji chako ndio kinakufikisha hapo hujala mzigo huo ongeza kipaji.
Maana sijawahi kutongoza zaidi ya siku moja tu na kuchukua mzigo wangu
 
 
Last edited by a moderator:
Labda kama sijaelewa, umesema hauhitaji kumuoa then unaendelea kumtongoza ili uone ndani halafu ufaidike na nini? huo muda unaopoteza kwa ajili ya kuona ndani tu, heb tafuta sehemu kuna wanawake wameacha milango wazi tena hata bila pazia huhitaji kugonga mlango unaingia tu la sivyo utakaa hapo nje mpaka ukome na mlango usifunguliwe maana miaka mitatu yote haujafunguliwa mlango unategemea nini tena hapo chapa lapa tu

Umenena vema sana mkuu Daudi1
 
Last edited by a moderator:
Labda kama sijaelewa, umesema hauhitaji kumuoa then unaendelea kumtongoza ili uone ndani halafu ufaidike na nini? huo muda unaopoteza kwa ajili ya kuona ndani tu, heb tafuta sehemu kuna wanawake wameacha milango wazi tena hata bila pazia huhitaji kugonga mlango unaingia tu la sivyo utakaa hapo nje mpaka ukome na mlango usifunguliwe maana miaka mitatu yote haujafunguliwa mlango unategemea nini tena hapo chapa lapa tu

mwananyamala kwa wahaya
 
Habari zenu?. Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu. Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe. Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.

Maaajabuu sana
 
Hacha ujinga kila kabila malaya ndo maana mada nyingi humu munajadili ngono tu.
 
Habari zenu?. Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu. Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe. Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.

Endelea kuvumilia maana inaelekea uwezo huo unao. Vuta miaka mingine 7 iwe kumi. Kama itakuwa bado wasiliana na watu wa Guiness Book of Records!
 
Inawezekana Papuchi yake ina dhahabu ndiyo maana unaing'ang'ania
 
Habari zenu?

Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu.

Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe.

Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.

Miaka mi3???... ananini huyo ambacho wengine hawana?...save ur time mkuu
 
Habari zenu?

Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu.

Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe.

Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.
Hiyo miaka mitatu yote unasema nini? Namekuota,nakupenda,nikinywa maji nakuona kwenye glasi?? Leo ukimwona mtongoze hivi: unaelekea kibla au uelekei? akisema sielekei umwambie hivi:nina laki moja iko chumbani kwangu haina kazi nataka nikupe,mkuu utashangaa leo hii hii unakula mzigo.NB: Usije ukawa unajipendekeza tuu ukidhani unatongoza mkuu kwa maana miaka mitatu si haba kwa shuguli ndogo kama hiyo.
 
Back
Top Bottom