Nimetokewa na mzimu wa Sheikh

Nimetokewa na mzimu wa Sheikh

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,362
Reaction score
4,938
Sheikh Yahya Hussein kanitokea usiku.
Nimeongea naye mambo mengi sana.
Nimemuuliza kati ya Man na Barca nani
ataibuka mshindi?
Kaniambia Mtibwa lazima ishinde.
 
We kiranja acha izo coz ni danger! Uctaje jina la m2 1kwa1 ficha kidogo
 
mwacheni yule mchawi Gagula apumzike kwa amani huko kuzimu
 
Sheikh Yahya Hussein kanitokea usiku.
Nimeongea naye mambo mengi sana.
Nimemuuliza kati ya Man na Barca nani
ataibuka mshindi?
Kaniambia Mtibwa lazima ishinde.

Ili shetani aku overwhelm anweza kuvaa sura ya mtu yeyote unayeweza kumwamini. Kwa mfano wewe umeongea na shaitwani akiwa ameiba sura unayoifahamu ya sheikh. Mwamini Yesu nawe utaokoka!, Amen!?
 
Sheikh Yahya Hussein kanitokea usiku.
Nimeongea naye mambo mengi sana.
Nimemuuliza kati ya Man na Barca nani
ataibuka mshindi?
Kaniambia Mtibwa lazima ishinde.

Kumuota yule mwanga lazima nawe uwe mwanga!!! Tena itakuwa hujamuota ila ulikuwa nae kuzimu!!!!
 
Sheikh Yahya Hussein kanitokea usiku.
Nimeongea naye mambo mengi sana.
Nimemuuliza kati ya Man na Barca nani
ataibuka mshindi?
Kaniambia Mtibwa lazima ishinde.

alifanana na avatar yako eeeh
 
Back
Top Bottom