Nimetandikwa kofi la uso

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
Wana jf yamenikuta mazito muda huu narud home nikitokea Ofisini sasa nimepnda daladala... nimekosa siti nikajikuta nimesmama sasa ndugu zangu simnajua mambo ya kusmama na kushika bomba nikajikuta nimesmama nyuma ya dada mmoja hv ana msambwanda wamaana [---- KUBWA] Bs ndugu zangu ghafla nikaanza kupata hisia kali kwenye boxer dushelele ikakasrka yule dada akageuka na kofi la uso da imenibd nishuke kituo ambacho sio changu kwa fedheha dah
 
Hahahahahaaaaaa..........poleeee
 

Dah, nimecheka sana! Pole Mkubwa wa kazi. Kwani vipi lile prado lako umeshaliuza? Au umemwachia TCleverly apige udalali kidogo?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaha hahahahahaha hahahahahaha! Jaman kama kucheka leo nimecheka sanaaaaaaa haswa pale jamaa alipoulizwa hisia ziliendelea baada ya kupgwa kofi?
 
dah! mkuu daladala zina kazi...
 

pole sana

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…