cyrax
Senior Member
- Mar 12, 2017
- 105
- 88
Wakuu habari,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni kijana wa miaka 24, nimehitimu chuo mwaka huu UDSM fani ya ualimu History na Kiswahili ninaishi Dar es Salaam.
Ninaomba mnisaidie kupata kazi yoyote ya halali maisha yasonge hali yangu ya kifedha sio nzuri. Nilijaribu kufanya biashara nikiwa chuo na baada ya chuo hazikufanya vizuri ingawa bado sijakata tamaa natafuta nguvu ya kuanza upya.
Nina ujuzi kiasi wa kutumia computer na internet.
Najiamini kufanya yoyote kwa bidii na kwa moyo naweza kujifunza kwa haraka. Naomba mwenye nafasi yoyote anisaidie.
Namba yangu 0752610439
Asante
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni kijana wa miaka 24, nimehitimu chuo mwaka huu UDSM fani ya ualimu History na Kiswahili ninaishi Dar es Salaam.
Ninaomba mnisaidie kupata kazi yoyote ya halali maisha yasonge hali yangu ya kifedha sio nzuri. Nilijaribu kufanya biashara nikiwa chuo na baada ya chuo hazikufanya vizuri ingawa bado sijakata tamaa natafuta nguvu ya kuanza upya.
Nina ujuzi kiasi wa kutumia computer na internet.
Najiamini kufanya yoyote kwa bidii na kwa moyo naweza kujifunza kwa haraka. Naomba mwenye nafasi yoyote anisaidie.
Namba yangu 0752610439
Asante