Mbobo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 1,380
- 1,800
Usitutishe Mkuu.Ukiona hivyo ujue Mkeo anaye mchepo wake na anampenda sana sasa anajistukia kwanini wewe huna ili ngoma iwe droo!! Wanawake wana akili sana.
Usitutishe Mkuu.Ukiona hivyo ujue Mkeo anaye mchepo wake na anampenda sana sasa anajistukia kwanini wewe huna ili ngoma iwe droo!! Wanawake wana akili sana.
Mume wako amepata mke hasa. Kama una rafiki au mdogo wako mwelewa kama wewe plz tuwasiliane.Wanawake wakati mwingine hata hujui wanatafuta nini maana inakuwa kama anatafuta sababu akushushe lawama ili aondoke maana hata hujui. Mume anakuheshimu, haongei na hiyo michepuko mbele yako wala hajakupunguzia kitu unataka nini kuchokonoa mambo kwenye simu. akikuacha? kesho unarudi tena kwake hapo hapo hata power huna tena. siri hii kwa wanawake nawapa, mwanamme hapendi kufuatiliwa sana wala gubu hata kama unahisi anamchepuko potezea kuwa kawaida tu na kuhakikishia mume hata kuacha kamwe atazunguka huko kwako hata ondoka lakini ukianza gubu tu mume ataichukia nyumba na ataanza kuona nje kuzuri sababu sipati gubu maana mchepuko anajuwa jamaa ana mke hakuna jipya wala sileti vineno wewe mume akirudi home kelele tu basi ujuwe unachimba kaburi hata kama alikuwa anakupenda ataanza kuwaza tofauti.
Anataka ugomvi wa kulazimisha huyo!Simu yangu kipindi cha nyuma nilikuwa siweki password. Mpaka siku moja nilipoibiwa halafu mwizi akaanza kuomba zitumwe pesa kwenye namba fulani akitumia simu yangu.
Hapo nikaona niwe naweka password. But pia kwa sasa hizi simu ni kama laptop. Tunahifadhia docs muhimu n.k. so naweka na pia password nampa aifahamu siyo kesi.
Nmeenda oga kumbe yeye kaamua kufanya ujasusi kwenye simu yangu nmerudi namkuta amenuna.sikuelewa sababu.but nikaona mwendelezo wa kununa na hasira ni mkubwa ndo kumuuliza nini kisa.
Ananambia najifanya mjanja na delete msg za mapenzi kwenye simu. Haiwezekani akose msg hata moja ha kuonesha nina mchepuko. Mimi mhuni nliye na uzoefu sana kiasi kwamba siachi alama. Amekagua simu nzima hajakuta text toka kwa mchepuko.
Yaani amekasirika kutokuta kuna ushahidi kuwa nachepuka akaenda mbali kusema ndio maana najifanya kumpa password sababu kila kitu kipo well organized. Nimewaambia michepuko mida fulani wasipige wala kutuma text.
Anasema ni bora mke wa rafiki yake alikuta msg za mchepuko kwenye simu ya mumewe. Ila mimi hata alama siachi jinsi nlivyo mzoefu.
Nimeshangaa sana. Yaani ni kosa kutokutwa na msg za kucheat? Hawa wanawake ni ngumu kuwaelewa kabisa. Ovess.
Umemuelewa?Pumbavu tuvumilie ujinga wenu??
Acheni ushenzi
80% ni ukweli.Ukiona hivyo ujue Mkeo anaye mchepo wake na anampenda sana sasa anajistukia kwanini wewe huna ili ngoma iwe droo!! Wanawake wana akili sana.
Asante kwa taarifa mkuu.aisee najivunia kuzaliwa wakike
Mbona hasira....Pumbavu tuvumilie ujinga wenu??
Acheni ushenzi
Kisha una mpelekea moto vizuri mpaka kisirani kiishehapo tu ndo huwa nazidi kuwapenda hawa jinsia ke .
Yaani kama katoto dah! Ningebaki nacheka tu mkuu na baadaye ningemletea ka zawadi katamu katamu.
Hichi ndicho kitakachofuata sasaKisha una mpelekea moto vizuri mpaka kisirani kiishe
Jasusi kakutana na CIASimu yangu kipindi cha nyuma nilikuwa siweki password. Mpaka siku moja nilipoibiwa halafu mwizi akaanza kuomba zitumwe pesa kwenye namba fulani akitumia simu yangu.
Hapo nikaona niwe naweka password. But pia kwa sasa hizi simu ni kama laptop. Tunahifadhia docs muhimu n.k. so naweka na pia password nampa aifahamu siyo kesi.
Nmeenda oga kumbe yeye kaamua kufanya ujasusi kwenye simu yangu nmerudi namkuta amenuna.sikuelewa sababu.but nikaona mwendelezo wa kununa na hasira ni mkubwa ndo kumuuliza nini kisa.
Ananambia najifanya mjanja na delete msg za mapenzi kwenye simu. Haiwezekani akose msg hata moja ha kuonesha nina mchepuko. Mimi mhuni nliye na uzoefu sana kiasi kwamba siachi alama. Amekagua simu nzima hajakuta text toka kwa mchepuko.
Yaani amekasirika kutokuta kuna ushahidi kuwa nachepuka akaenda mbali kusema ndio maana najifanya kumpa password sababu kila kitu kipo well organized. Nimewaambia michepuko mida fulani wasipige wala kutuma text.
Anasema ni bora mke wa rafiki yake alikuta msg za mchepuko kwenye simu ya mumewe. Ila mimi hata alama siachi jinsi nlivyo mzoefu.
Nimeshangaa sana. Yaani ni kosa kutokutwa na msg za kucheat? Hawa wanawake ni ngumu kuwaelewa kabisa. Ovess.
Wasiojiamini wanahangaika sana kwenye ndoa.Na ndio mbinu iliyodumisha ndoa za wazee wetu mpaka wamezeeka pamoja. Mzee hata kama katoka safari, haendi home direct! Ataweka kituo sehemu, then anampa mkoba au koti kijana atangulize nyumbani. Then baadae yeye ndio anakuja.
Sasa sisi wa siku hizi ni kuwindana kama ngedere mara unapekua simu, mara unarudi nyumbani ghafla, ukisafiri unasema narudi jumanne halafu unarudi jumatatu ghafla... kuna watu mpaka wamefunga cctv kwa siri nyumbani. Mwisho unachokitafuta unakipata kweli halafu unaanza kulia lia
Hii ya mzee kutoka safari anafikia kijiweni anampa koti na mikoba kijana apeleke home yeye anakuja bakadae umenikmbusha mbali sana.Na ndio mbinu iliyodumisha ndoa za wazee wetu mpaka wamezeeka pamoja. Mzee hata kama katoka safari, haendi home direct! Ataweka kituo sehemu, then anampa mkoba au koti kijana atangulize nyumbani. Then baadae yeye ndio anakuja.
Sasa sisi wa siku hizi ni kuwindana kama ngedere mara unapekua simu, mara unarudi nyumbani ghafla, ukisafiri unasema narudi jumanne halafu unarudi jumatatu ghafla... kuna watu mpaka wamefunga cctv kwa siri nyumbani. Mwisho unachokitafuta unakipata kweli halafu unaanza kulia lia
Hii tactic ni ya kijasusi sana. Inamajfanikio makubwa kwenye mahusiano na ndoaMlishaambiwa mwanamke haelewi anataka nini, siri kubwa ya kuishi na mwanamke ni kuwa UNPREDICTABLE tu.
Ukiona hivyo ujue Mkeo anaye mchepo wake na anampenda sana sasa anajistukia kwanini wewe huna ili ngoma iwe droo!! Wanawake wana akili sana.