Nimeshindwa kujieleza!

Nimeshindwa kujieleza!

aljun raj

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
203
Reaction score
46
Daah sometime unaweza ukabaki kama bubu pale unapokutana na msichana mzuri na kushindwa uanze vipi kumueleza hisia zako kiukweli nilijikuta nashindwa kumwambia ukweli kwa kumwangalia na kusifia kisha akaondoka zake nami nikabaki nimeganda kama barafu kwa kumwangalia akiondoka na mwendo mzuri mithiri ya twiga. ila one day yes nitakutana nae tena!!
 
hahahaha

Umenikumbusha kamsemo ketu ka siku nyingi "shingo feni, macho balbu, domo ZEGE"
 
hamna si domo zege ila kwa uzuri wake mm
 
hela tu itaongea yenyewe huna haja ya kusumbua mdomo
 
Kutongoza ni kipaji na waliojaliwa kuwa nacho wanafanya kutongoza ionekane ni rahisi mno kama vile kuomba maji ya kunywa lakini wengine ndiyo hivyo tena wa MUJINI wanaita domo zege.

 
Last edited by a moderator:
Si kama siwezi kutongoza ila uyu demu kwauzuri uliopitiliza kweli nimeshindwa mie.
 
ukishindwa kujieleza, basi jilegeze.
Daah sometime unaweza ukabaki kama bubu pale unapokutana na msichana mzuri na kushindwa uanze vipi kumueleza hisia zako kiukweli nilijikuta nashindwa kumwambia ukweli kwa kumwangalia na kusifia kisha akaondoka zake nami nikabaki nimeganda kama barafu kwa kumwangalia akiondoka na mwendo mzuri mithiri ya twiga. ila one day yes nitakutana nae tena!!
 
Hao walioumbwa wakaumbika ndiyo unatakiwa utulizane ufanye vitu vyako ili kukonga moyo wa mrembo.

Si kama siwezi kutongoza ila uyu demu kwauzuri uliopitiliza kweli nimeshindwa mie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom