Yaani Sasa hivi maada imenitoka kuna kitu nilikuwa nakiwaza nikasema nikawashirikishe Wana jf wana chitchat,Cha ajabu kimenitoka kichwani yaani hata sio muda mrefu Ni Sasa hivi sasa hivi tu.nikikumbuka nitawatag
2.Nikipita mbele ya watu napiga vile viringtone enzi hizo feroooz na ngoma yake ya hapa nilipo mm nipo kitandani utasikia tiiririii tirii taatatt tiriii aaah aaah najifanya simu inaita napokea kumbe uongo.
3.Nilikuwa nasikiliza vipindi vya radio ili nipate marafiki kwenye vipindi vya kutafuta marafiki mara nyingi niliishia kula nauli za wanaume
Yaani Sasa hivi maada imenitoka kuna kitu nilikuwa nakiwaza nikasema nikawashirikishe Wana jf wana chitchat,Cha ajabu kimenitoka kichwani yaani hata sio muda mrefu Ni Sasa hivi sasa hivi tu.nikikumbuka nitawatag
Yaani Sasa hivi maada imenitoka kuna kitu nilikuwa nakiwaza nikasema nikawashirikishe Wana jf wana chitchat,Cha ajabu kimenitoka kichwani yaani hata sio muda mrefu Ni Sasa hivi sasa hivi tu.nikikumbuka nitawatag