Nimerushiwa kirusi na ninaohisi ni illuminati

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
Mara tu baada ya kupost mada inayohusu Illuminat nilijikuta napokea kirusi chenye maandishi ambayo sikuyatambua na ghafla komputa mpakato yangu ikazimika kabisaaa na kuhisi jamaa wamenitupia dude maana hiyo nondo ilikua imeshiba sana details zao

nilipewa folder lenye nondo za hawa jamaa nikaona nianze kushirikisha lakini hayo ndiyo yaliyonikuta na hata aliyenipa akaniambia jamaa wako kazini muda wote na nikauliza kama nitafuatiliwa zaidi akasema hapo wamemaliza na kukupa onyo

kilichonifanya nihisini wao ni kwamba hiyo mada ilifutika mara tu baada ya kuituma

hii ni tahadhari kwa wengine jameni ama kama kuna aliyekutwa na janga kama langu atushirikishe hapa
 
mkuu hatuna utani ni kweli kabisa ila bado sina hakika 100% kama ni hao iluminat walionitupia kidude
Kuna siri gani so special mpaka waamue kukudungulia kompyuta yako???
 
Last edited:
Sidhani hiyo post yako ina kitu chochote ambacho ni very new
ambacho hakipo online tayari

punguza wasiwasi....post upya na itakaaa
 
Mara tu baada ya kupost mada inayohusu Illuminat nilijikuta napokea kirusi chenye maandishi ambayo sikuyatambua na ghafla komputa mpakato yangu ikazimika kabisaaa na kuhisi jamaa wamenitupia dude maana hiyo nondo ilikua imeshiba sana details zao

nilipewa folder lenye nondo za hawa jamaa nikaona nianze kushirikisha lakini hayo ndiyo yaliyonikuta na hata aliyenipa akaniambia jamaa wako kazini muda wote na nikauliza kama nitafuatiliwa zaidi akasema hapo wamemaliza na kukupa onyo

kilichonifanya nihisini wao ni kwamba hiyo mada ilifutika mara tu baada ya kuituma

hii ni tahadhari kwa wengine jameni ama kama kuna aliyekutwa na janga kama langu atushirikishe hapa
acha uongo hao wala sio iluminat hiyo compyuta yako tu ina matatizo
 
Hao jamaa ni hatari kuliko tunavyodhania.Habari zao zinatisha na ni siri kubwa.Mifumo yote ya kompyuta duniani wanaidhibiti wao.Na hizi huduma kama facebook,instagram,twitter,whatsap n.k zimeanzishwa kwa makusudio maalum.Sijagusia hizi tv,mobile phones,laptop,headphones.
Hutakiwi kuhofia yeyote chini ya jua,tafuta namna ya kulifikisha suala hili hapa jukwaani.
 
nilikua naorodhesha orodha ya mamlaka zinazotawala ulimwengu na kuweka jedwali hapo pichani
naomba uandike hata ka summary kadogo tu kuhusu hiyo topic...btw haya mapepo hayana mamlaka kwa jina la YESU.. au ni-pm
 
download (2).jpg

mada yenyewe ilianzia hapa
 
Back
Top Bottom